karibuni

chuki ikiingia ndani kupitia mlangoni upendo hutoka nje kupitia dirishani,upendo unagharama sana ukilinganisha na chuki,afadhali kununua upendo kuliko kuzawadiwa chuki na migogogro

February 01, 2007

Hamjamboni nyote,nina swali je kuna mtu anaye amini mambo ya uchawi na uzinzi?Swala langu haswa kwa Bwana Ndesanjo hebu nieleze aliyemtukana Raisi wa Tannzania ni nani na ana madhumuni gani?Mtaniwa rahdi kiswahili changu bado hakijajitosheleza.Mimi naitwa Elizabeth kutoka mkoa wa Nyanza Kenya mkewe mwenye mwenye blogi hii.Sasa we bwana Egedio umenisababisha kupika pilau na wala huleti ndizi ya kulia pilau hiyo sasa wewe utalipa faini kutoka huko huko India,lakini kabla ya hiyo hebu nitumie salamu kwa Bwana Ndesanjo Macha na haswa mwanaye Ukweli. Sasa Namba yetu ni hii lakini ujue kwamba mume anaugua eti anaumwa na jino nijulishe ndizi zitaika lini,tayari wageni wamefika na pilau tayari mezani inapoa na togwa linakungojea sasa tafadhali nijulishe kwenye nambari hii 00498966000332.
Ni mimi Mwana blog wa Mwenzenu Mrs ilunga kingo Kalala.

2 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Asante sana Lizabeth yaani hadi hapa nilipo nasikia harufu ya pilau hilo.
Mimi ndizi nakuja nazo wala usiwe na wasiwasi kabisa.Na hao watu waliokwisha fika hapo waambie kuwa wanisubiri mpaka nije kwa sababu nakuja na mapochopocho mengi toka Uhindini.

Mpe pole mgonjwa.

Ndesanjo Macha said...

Toa pole zetu za dhati.