karibuni

chuki ikiingia ndani kupitia mlangoni upendo hutoka nje kupitia dirishani,upendo unagharama sana ukilinganisha na chuki,afadhali kununua upendo kuliko kuzawadiwa chuki na migogogro

July 23, 2010

nimerudi tena

kuna mambo mawili makubwa ninahitaji kuyasema leo,la kwanza ni kufukuzwa kwa waafrika kutoka nchi ya naijeria huko Afrika ya kusini,nimepata habari jana kuwa kuna wanaijeria 47 ambao kwa kweli kuwapatia dakika tano ili wawe katika uwanja wa ndege na wakati wamekuwa wakiishi kihalali tena kwa kulipa kodi?????mbali na hapo kuna dada mwingine mdogo wa mri wa miaka isiyozidi 24 hapa ujerumani, amepewa siku nne tu kurudi nyumbani Kenya wakati hata pesa ya kupata mkate wa chai asubuhi kwa siku 120 alizoishi hapa hakuwa amelipwa.mhhhhhh inakuwa ngumu sana kwangu kuelewa hilo,au ina maana na sisi waafrika tuanze kuwafukuza wendawazimu hawa ambao wametufanya tuwe watumwa kwao????????naishia hapo kwa kuwa nitakasirika bure.hii si khaki

1 comment:

imanauliya said...

Nice blog and article, thanks for sharing. However want to statement on few common issues, The website taste is great, the articles is in point of fact excellent.
Obat Vimax